Pages

table

table

Saturday, August 20, 2016

TIBA YA SARATANI (CANCER)

HABALSODA

Paka mafuta ya habalsoda mara tatu kila siku pamoja na kula kijiko cha unga cha unga wake kila umalizapo kula katika kikombe cha juice ya karoti.Endelea kufanya hivyo kwa muda wa miezi mitatu. 



STAFELI 

Pia pendelea kunywa juisi ya tunda la mtopetope au stafeli, Stafeli lina mchanganyiko wa virutubisho wenye uwezo mkubwa wa kuthibiti ukuwaji wa seli  za saratan mara 10,000 zaidi ya dawa ya adriamycin ambayo ndio hutumika kutibu saratani. 

MAJANI YA MSTAFELI

Licha ya tunda la mstafeli 10,000  kuwa na virutubisho vyenye uwezo mkubwa wa kuthibiti ukuwaji wa seli za saratani, utafiti umeonyesha majani yake pia yana uwezo sawa na tunda hilo.Tumia majani hayo kwa kutengeneza juice na uinywe au tafuta jani moja la mstafeli kutwa mara tatu pia unaweza kuchuma majani hayo na kuyakausha kwa matumizi ya vinywaji vya moto kama chai na vingine unaweza  kutumia kama tiba au kinga ya saratani zote.Utafini umeonyesha majani ya stafeli yanauwezo wa kutibu aina 12 za saratani zikiwemo saratani ya matiti na tezi dume, tumia majani haya 100% utapona kabisa.




ASALI 
Chukua mkate wa nyuki kutoka mzingani moja kwa moja kiasi cha miligarmu 100 kila wiki mara moja na kula asali pamoja na nta yake kila siku kiasi cha kikombe kimoja na sugua mwili wako kwa asali na mafuta ya habalsoda, kisha oga baada ya saa moja kwa maji yenye uvuguuvugu, baadae kula asali iliyochanganywa na unga wa habalsoda katika juisi ya karoti kila siku.






                



KITUNGUU SAUMU

Kitunguusaumu kina virutubisho vingi vinavyozuia saratani, kila mgonjwa wa saratani anashauriwa ale kwa wingi kitunguu saumu na karoti kwa wingi. Kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu tiba hii itampa mgonjwa matokeo mazuri kwa haraka.


                     

KITUNGUU MAJI
Kausha vizuri maganda ya kitunguu kweye jua, yasage na kiasi kama hichi cha magamba ya Muoka halafu yakande katika asali, chukua kiasi cha kijiko kimoja ukoroge katika juisi ya karoti na unywe kila siku kwa muda wa mwezi mmoja mfululizo..Baada ya hapo utakuwa ukivuta puani moshi wa kitunguu kabla ya kulala kwa muda wa mwezi mmoja.


           


No comments:

Post a Comment