Pages

table

table

Sunday, August 28, 2016

MATUMIZI YA DAWA ZA MENO NA MADHARA YA KIAFYA KWA MTUMIAJI

Tambua dawa ya meno zinavyotengenezwa ili kuepusha madhara ya kimwili unayoweza kuyapata hasa kwa watoto wadogo, epusha kumpigisha mtoto mdogo mswaki kwa kutumia dawa ya meno, ni mara nyingi watoto upendelea kumeza kwa radha zake wakifikiri ni ice cream au juice  aidha kwa makusudi au kwa kutokujua. Dawa hizo nyingi zimetengenezwa kwa kutumia mchanganyiko wa kemikali kali .

Kabla ujanunua dawa ya meno angalia lebo ya rangi yake kama inavyoonekana pichani ili kujiepusha kununua dawa zenye Kemikali nyingi zitakazo kuletea madhara makubwa kiafya.

Ni vizuri ukanunua dawa yenye lebo ya kijani kwa matumizi yako na familia kiujumla, dawa hizi zimetengenezwa kwa kutumia mchanganyiko wa asili wa mimea, sio dawa zote zilizoandikwa herbal zimetengezwa kwa kutumia mimea asili, ndio maana watengenezaji wamelazimishwa kuweka lebo hizi ili kuwajuisha watumiaji wake. Swali la kujiuliza ni kwamba

je ni mwenye kiwanda gani anayetoa elimu hii kwa watumiaji wa dawa hizi, au wapi ulishawahi kupata elimu hii?



No comments:

Post a Comment